Kavoi, Mutuku
(Egerton University, 1996-11)
Tasnifu hii inajikita katika uchunguzi wa fani katika riwaya mbili za Said Ahmed Mohamed. Riwaya zenyewe ni Qggig Mti Mkavu (1980) na Kiza Katika Nuru (1988). Tunaoyesha kuwa Mohamed, kama baadhi ya watunzi wengine wa ...